
Jeshi la polisi Mkoa wa Dodoma limekamata magari matatu yanayoaminika ya wizi likiwamo lori la mizigo ambalo limekuwa likitumika katika matukio ya uhalifu katika mikoa mbalimbali nchini pamoja na bastola moja.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma Gilles Muroto, tukio la kwanza wamekamata gari mbili aina ya Toyota Prado zilizokuwa zikiuzwa kwenye moja ya nyumba za kulala wageni, moja wapo likiwa na namba za usajili T777 CVL huku jingine likiwa halina namba.
Aidha Kamanda Muroto amesema katika tukio jingine jeshi hilo limefanikiwa kukamata bastola moja iliyokuwa imefukiwa ardhini eneo la barabara ya kuelekea Iringa.
Baadhi ya watu ambao walijitokeza ili kutambua lori ambalo lilitajwa kuhusika kwenye matukio mbalimbali ya kihalifu ambapo nao miongoni mwa waathirika wa matukio ya kuibiwa.
from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/2TuAUNt
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33





