Ndege iliyokuwa inafanya safari kutoka mji mkuu wa Bangladesh, Dhaka kuelekea Dubai, ililazimika kutua kwa dharura baada ya kutokea jaribio la kuteka nyara ndege, vyombo vya habari nchini humo vimeripoti.
Ndege ya shirika la Binman, ikiwa na abiria 142, ilizungukwa na vikosi vya usalama katika uwanja wa ndege wa mji wa pwani wa Chittagong.
Abiria wa ndege BG 147 walitoka ndani ya ndege hiyo wakiwa salama, ripoti zilieleza zikinukuu polisi.
Mtu mmoja aliyekisiwa kujaribu kuvamia chumba cha rubani alikamatwa, Shirika la habari la Ufaransa limeeleza.
Ndege hiyo iliwekwa kwenye uangalizi mara moja ilipotua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Shah Amanat wakati polisi wakizungumza na mshukiwa huyo.
Picha zilizowekwa kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha watu wakiwa katika makundi makundi huku ndege aina ya Boeing 737 ikionekana kwa nyuma.
Haijafahamika kwa nini mshukiwa huyo anayeaminika kuwa na umri wa miaka 25, alijaribu kuteka nyara ndege.
from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2IImGVk
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







