Mwanamieleka Maarufu Hulk Hogan Afariki Dunia
Hulk Hogan amefariki hii leo akiwa na umri wa miaka 71,
Madaktari wamethibitisha kifo chake mapema Alhamisi asubuhi ya leo huku chanzo cha kifo chake kikitajwa kuwa ni tatizo la moyo.
Hogan aliumwa moyo akiwa nyumbani kwake Florida kisha kupelekwa Hospitali ambapo alipatwa na umauti.
Hata hivyo, Wiki chache tu zilizopita, mke wa Hogan, Sky, alikanusha uvumi wa kwamba Hogan alikuwa katika coma, akisema moyo wake ulipata nguvu na alikuwa na nafuu baada ya kutoka kwenye upasuaji.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






