Mwanamieleka Maarufu Hulk Hogan Afariki Dunia

Masama BlogKIMATAIFAMICHEZO6 months ago179 Views

Mwanamieleka Maarufu Hulk Hogan Afariki Dunia

Hulk Hogan amefariki hii leo akiwa na umri wa miaka 71,

Madaktari wamethibitisha kifo chake mapema Alhamisi asubuhi ya leo huku chanzo cha kifo chake kikitajwa kuwa ni tatizo la moyo.

Hogan aliumwa moyo akiwa nyumbani kwake Florida kisha kupelekwa Hospitali ambapo alipatwa na umauti.
Hata hivyo, Wiki chache tu zilizopita, mke wa Hogan, Sky, alikanusha uvumi wa kwamba Hogan alikuwa katika coma, akisema moyo wake ulipata nguvu na alikuwa na nafuu baada ya kutoka kwenye upasuaji.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.