Mume Ampiga Stop Koletha Kucheza Filamu

8 years ago120 Views

Mume Ampiga  Stop Koletha Kucheza Filamu

MSANII wa filamu za Kibongo, Koletha Raymond anadaiwa kupigwa stop kucheza filamu na mumewe Temba ndiyo maana amejikita kwenye mambo mengine kwa sasa.

Chanzo kilieleza kwamba kutokana na tabia za baadhi ya wasanii wa kike kutojiheshimu hata kama wakiwa kwenye ndoa, mume wa Koletha ameamua kumpiga stop kucheza filamu ili kulinda ndoa yao isije kukumbwa na kimbunga kwani ndoa nyingi za mastaa zimekuwa hazidumu. 

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.