Msajili wa Hazina Tanzania, Nehemiah Mchechu, amewaagiza Wenyeviti wa Bodi za Taasisi za umma kuandaa mipango ya kurithisha nafasi tatu muhimu za uongozi ndani ya asasi zao.
Mchechu alisisitiza kuwa bila mipango hiyo, mamlaka za uteuzi mara nyingi huchagua viongozi kutoka nje yaTaasisi, ambao wanaweza kukosa uzoefu muhimu.
Bwana Mchechu ameyasema hayo wiki iliyopita Julai 15, 2024 wakati akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari kuhusu Kongamano la Wakurugenzi Watendaji lililofanyika jijini Arusha.
Mchechu alieleza kuwa mipango hiyo ya urithi inapaswa kuundwa na bodi na kujumuisha wagombea wasiopungua watatu
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







