DANSA maarufu Bongo kutoka kundi la Wasafi , Moses Iyobo amefafanua uvumi wa kutaka kuondoka kwenye kundi hilo na kujitenga. Akizungumza na Spoti Xtra, Iyobo amesema hayo maneno hata yeye ameyasikia lakini hayana ukweli wowote na yote yamezuka kwasababu ya kutoonekana katika video ya Tetema ya Diamond na Rayvanny.
Anasema hakuonekana kwa sababu ratiba ziliingiliana kwani siku waliyokuwa wanashuti yeye kuna kazi zake alikuwa anafanya.
“Kwanini niondoke WCB? Yaani kutokuwepo kwenye video ya Tetema tu basi ishakuwa nongwa? Mimi ni WCB damu yaani sio wa kuondoka leo wala kesho na sijawahi kuwaza.
“Sababu ya mimi kutowepo kwenye video ni kutokana na ratiba ambazo ziliingiliana ndio maana sikuwepo lakini sio kwamba najitenga ama nataka kujitoa hapana kwakweli hizo habari ni za uongo,” alisema Mose.
from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2TgECdE
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







