Mashabiki Zaidi ya Milioni 30 Wamtaka Mbappe Kuondoka Real Madrid

Zaidi ya Mashabiki Milioni 30 wa Real Madrid wamesaini ombi la kumtaka Kylian MbappĂ© aondoke katika klabu hiyo kutokana na kukosa matokeo na kutofanya vizuri nje ya Uwanja. Siku mbili zilizopita, ombi lilizinduliwa kwa Mashabiki wa Real Madrid kusaini ombi la kutaka Kylian MbappĂ© aondoke katika klabu hiyo. Ombi hilo awali liliwekwa kwa lengo la … Continue reading Mashabiki Zaidi ya Milioni 30 Wamtaka Mbappe Kuondoka Real Madrid