MAHUSIANO:Wasichana Walioolewa na Kupata Ujauzito Katika Umri Mdogo Wawatupia Lawama Wazazi

7 years ago99 Views

RUKWA, NKASI: Wasichana waliopata ujauzito wakiwa bado ni Wanafunzi wamesema wazazi ndio chanzo cha mimba hizo

Wamesema kuwa Wazazi hawatimizi wajibu wao wa kulea na kuwapa mahitaji muhimu

Wilaya hiyo inaongoza kwa idadi kubwa ya Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kupata ujauzito

Takribani Wasichana 115 wamepata ujauzito Wilayani humo kuanzia mwezi Januari mwaka huu



Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.