
ILIKUWA patashika nguo kuchanika katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara kwenye tamasha la Wasafi Festival usiku wa Novemba 24, ambapo wasanii kutoka WCB wakiongozwa na Diamond Platnumz, wameangusha bonge moja la shoo ya kukata na shoka.
Miongoni mwa mastaa waliohudhuria ni pamoja na waigizaji kutoka Bongo Muvi, ambapo Jacquline Wolper, alipopata nafasi ya kuwasalimia wana Mtwara shangwe likalipuka kwa wakazi hao kumuita shemeji na kelele zilivyonoga akatangaza kuwa anarudiana rasmi na mpenzi wake wa zamani Harmonize.
VIDEO:
GPL
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






