
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Bashiru Ally, amewataka wanachama wa CCM kuheshimu alama za vyama vyote vya siasa nchini kwa sababu vimesajiliwa kisheria.
Dk Bashiru amesema hayo wakati akizindua mkakati wa kukomaza demokrasia kwenye mashina ulioandaliwa na CCM mkoa wa Dodoma.
Amewataka kutochoma wala kubeza alama za vyama hivyo na kwamba huku akigusia suala la wafuasi wengine kuchoma bendera na kupaka rangi ya chama chao ofisi za chama kingine.
“CCM tusifanye mambo holela na uhuni huo katika siasa. Ni kosa kuparamia na kupaka rangi ofisi za vyama hivyo. CCM tusifanye hivyo ni kosa kisheria”. amesema.
Ameongeza, Sisi wanachama wa Chama cha Mapinduzi tunao wajibu wa kulinda uhuru wa vyama vingine vilivyosajiliwa kisheria, kama sisi tunafurahi na kuimba nyimbo zetu acheni na wao wafurahi na kuimba nyimbo zao, kama sisi tunapendeza na nguo zetu acheni na wao wapendeze na nguo zao.
Chanzo – EATV
from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/2U8M62G
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33





