
Binti wa miaka 20, ajulikanaye kama Sharon, mkazi wa Kisumu, Kenya, amejinyonga hadi kufa baada ya majibizano baina yake na shangazi yake kuhusu chapati.
Inaelezwa kuwa Sharon aliachiwa fedha kwa ajili ya kununua chakula na kupika kwa ajili ya familia na badala yake alinunua chapati cha maharage na kula mwenyewe.
Kwa mujibu wa jirani wa familia hiyo, Jane Auma, shangazi yake aliporudi nyumbani na kuuliza kwanini binti huyo hakupika chakula cha familia nzima na badalayake akajinunulia chapati, wawili hao walianza kujibiza na baadaye, msichana huyo aliamua kujiua kwa kujinyonga.
Auma anasema ni ngumu kuamini kuwa msichana huyo angeweza kujinyonga kwa mzozo wa chapati, lakini hatahivyo ujumbe wa alioacha ameuandika tayari umefikishwa polisi.
Mwili wa marehemu umeshapelekwa kuhifadhiwa kwenye hospitali ya Jaramogi Oginga na upelelezi unaendelea.
from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/2J2zBS0
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33





