Rapper wa zamani wa kundi la HBC, Terry Fanani ambaye ni mmoja wa mastaa waliowahi kuathirika na matumizi ya dawa za kulevya, amesema arosto anayopata mteja ni kitu chenye nguvu kinachompa uchizi teja.
Akiongea na Planet Bongo ya EA Radio, Fanani amesema teja akiwa katika hali hiyo, yuko tayari kwa lolote.
“Arosto inapokukamata unakuwa katika hali ya kama mwendawazimu,” amesema.
“Kwahiyo uko tayari kufanya lolote, uko tayari kumdanganya mtu ambaye anakusaidia ili ukapate pesa ukafanye, uko tayari kuchukua hata mama yako anaumwa umepewa hela ukanunua dawa hospitali la kwanza ni kujitubu wewe kwasababu tunakuwa na ubinafsi,” amesisitiza.
“Na inapofika wakati imefika jioni sijavuta halafu sina kitu niko na kampani za washkaji tunaweza tukaingia front sio, kaba mtu chukua hela ilimradi nitibu lile tatizo langu la msingi.”
Fanani amedai yupo kwenye kipindi ambacho ameacha kutumia madawa na anapambana ili asirudie tena kwasababu kuacha si jambo rahisi.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







