Malaika Village iliyopo kilomita mbili tu kutoka njiapanda ya Chamwino na mita chache mkabala na makao makuu ya JKT tayari imevunha rekodi ya kuwa eneo pekee linalokuwa na ndege urembo wanaofugwa majumbani mfano Njiwa,Kuku,Kanga na wengine ambao pamoja na kuwa kivutio kwa watu mbalimbali wanaofika eneo hilo lakini bado wanatumika kama aina mojawapo ya vyakula vinavyopatikana eneo hilo.
Wakiongea baadhi ya wateja waliopata huduma katika eneo hilo la burudani bwana Juma Mzee mkazi wa Area D dodoma amesema…Hakika kwa sisi wakazi wa Dodoma tunathubutu kusema hapa malaika village kwa sasa ndio habari ya mjini, mimi na familia napenda kuja hapa mara nyingi weekend kwa sababu kuna Swimming Pool kwa ajili ya watoto ana watu wazima,kuna mandhari tulivu sana hata kama una shughuli zako unafanyia hapa bila kelele na hata makazini tukiwa na vikao tunafanyia hapa.
Malaika Village unaweza kuwasiliana nao kwa namba 0746 727 662 kwa ajili ya kuweka nafasi yako ya malazi,vyakula au maulizo iwe uko dodoma au unategemea kutembelea jijini dodoma.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33










