
Mbunge wa Jimbo la Nanyamba Mhe Abdalla Dadi Chikota
tarehe 14/7/2024 amefanya ziara yake kwa siku ya pili kata ya Kitaya katika vijiji vya Mayembe Juu, Mchanje, Kitaya na Kihamba.
Katika Ziara hiyo Mhe Chikota amechangia mifuko ya saruji Kijiji Cha Mayembe Juu mifuko 100, Mchanje mifuko 100 Ofisi ya Kijiji Cha Kitaya Bati 40 kutokana na ahadi yake ya kuchangia maendeleo yaliyoanzishwa na wananchi wenyewe kama vile ujenzi wa zahanati.

Ndg Chitimbe amemshukuru mbunge kwa kumpatia fedha hiyo kama ahadi yake aliyoomba ili aendeleze Kilimo chake Cha umwagiliaji.
Nae Mwenyekiti wa CCM Mtwara Vijijini katika Ziara hiyo amewasisitiza wananchi wa kata ya Kitaya kujitokeza kwenye zoezi la Uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura mara baada ya zoezi hilo litakapoanza ili wenye Sifa wote waweze kupiga kura katika Uchaguzi wa serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33









