WAZIRI DKT. PINDI CHANA AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI BAJETI KUDHIBITI DAWA ZA KULEVYA NA TUME YA UKIMWI

Admin Updates3 years ago5 Views

 Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Bw. Gerald Kusaya akichangia hoja wakati wa kikao cha kujadili Bajeti ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana  na Dawa za Kulevya   (DCEA)  katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome  Jijini Dodoma.

 Waziri wa Nchi  Ofisi ya Waziri  Mkuu anayeshughulikia ( Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana akiongoza kikao cha kujadili Bajeti ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana  na Dawa za Kulevya katika (DCEA) kaika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Ngome Jijini Dodoma.

Baadhi ya washiriki katika kikao hicho ambao ni watumishi wa ofisi ya mamlaka ya udhibiti wa dawa za kulevya wakimsikiliza na kushiriki mjadala huo wa bajeti uliofanyika chini ya  Kamishna  Gerald Kusaya pamoja na Waziri Dkt. Pindi Chana.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.