Afisa mmoja wa Polisi nchini Kenya, Kobstabo Evans Otieno amesweka rumande katika Kaunti ya Makueni akidaiwa kushiriki maandamano, huku akiwa na misokoto 40 ya bangi yenye thamani ya Shilingi 2,000.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka huduma ya Polisi -NPS, Kobstabo Otieno alikamatwa eneo la Emali katika barabara kuu ya Nairobi kuelekea Mombasa na tayari amesimamishwa kazi akisubiri kusomewa shitaka linalomkabili.
“Tunathibitisha kukamatwa kwa afisa huyo kupitia tukio lililonakiliwa kwa nambari OB:15/20/7/2023 saa nne na dakika 20 mchana na alikamatwa alipokuwa akipanga waandamanaji katika kizuizi haramu cha barabarani,” taarifa ya Mkuu wa Polisi, Japhet Koome ilisema.
Aidha, ripoti hiyo imeeleza kuwa, “Afisa huyo alikuwa miongoni mwa raia waliokuwa wakihangaisha wenye magari kwa kuwavurumishia mawe. Aidha, imebainika kuwa afisa huyo alionekana na wenzake katika mji wa Emali akiwa miongoni mwa waandamanaji waliorusha mawe katika kituo cha polisi cha Emali.”
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







