Rais wa zamani wa Congo, aliyehukumiwa kifo Septemba 30, ameitisha kongamano la kisiasa nchini Kenya.
Kongamano hilo linakuja wiki mbili baada ya kuhukumiwa kifo na Mahakama ya Kijeshi ya Congo, ambayo ilimpata na hatia ya uhaini na uhalifu dhidi ya amani.
Katika hukumu hiyo,Mahakama ya Kijeshi iliamuru kutaifishwa kwa mali zake na fidia ya Mamilioni ya fedha.
Kwa mujibu wa taarifa, Rais huyo wa zamani wa DRC amewaalika wapinzani kadhaa kwenye mkutano uliopangwa kuanza leo Oktoba 14 jijini Nairobi.
HAMAS na Israel zasaini Makubaliano Kusitisha Vita
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






