GSM Aichangia CCM Bilioni 10 Kampeni za Uchaguzi
Katika harambee ya Chama cha Mapinduzi (CCM) inayoendelea leo Agosti 12, katika kumbi za Mlimani City jijini Dar es salaam, Mfanyabiashara Ghalib Said Mohamed ( GSM) ametoa shilingi Bilioni 10 kama mchango wake kusaidia kampeni za Wagombea wa Urais wa Chama hicho.
Tofauti na mchango huo, Club ya Yanga ambayo anaidhamini nayo imetoa shilingi milioni 100 kuisadia CCM katika Kampeni zake.
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ndiye Mgeni rasmi wa harambee hii.
HABARI PICHA: Jionee RC Balozi Batilda Buriani alivyopokea Mwenge wa Uhuru Jijini Tanga

Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






