Ni mara nyingi sana tunasikia wanaume wakisema
“mke wangu wala huwa simuelewi”
Ni kweli wanaume tunahitaji kujua baadhi ya vitu kuhusu wanawake ili tuweze kuwafahamu zaidi.
Je ni mambo gani wanawake huhitaji kutoka kwa mwanaume?
Wanawake huhitaji mwanaume anayesikiliza zaidi kuliko kutoa jibu tu.Wanaume ni watu wa kutia majibu (problem solvers).
Pia wanaume hujitahidi
kuhakikisha mambo yanakuwa sawa kwa kila mmoja bila kusahau masuala ya
mahusiano hata hivyo kuna wakati na muda wa kutoa suluhisho na pia kuna
wakati ambao mwanaume anatakiwa kusikiliza tu kwa mwanamke.
Kama mke
moja kwa moja amekuomba usaidie kutoa sukluhish la jambo Fulani hapo
haina tatizo moja kwa moja toa jibu an fanyia kwazi.
kuhakikisha mambo yanakuwa sawa kwa kila mmoja bila kusahau masuala ya
mahusiano hata hivyo kuna wakati na muda wa kutoa suluhisho na pia kuna
wakati ambao mwanaume anatakiwa kusikiliza tu kwa mwanamke.
Kama mke
moja kwa moja amekuomba usaidie kutoa sukluhish la jambo Fulani hapo
haina tatizo moja kwa moja toa jibu an fanyia kwazi.
Ila kama mke anakueleza kitu ambacho amekutana nacho iwe kazini au akiwa na watoto usitoe suluhisho kabla ya kumsikiliza kwanza.
Wanawake
wanahitaji kubwa la kutaka kusikilizwa na hii ndiyo tofauti kati ya
mwanaume na mwanamke, wanaume hutumia ubongo tu hata bila kuongea
kuhakikisha anapata tatizo la issue zake wakati mwanamke hulazimika kuzungumza na kusikilizwa ili kupata jibu laissue yake.
Kama mwanaume hutumii muda ku-discuss mambo
na mke wako hiyo siyo nzuri ndiyo maana anaweza kutumia muda wake
kuongea na rafiki zake kwenye simu kwa sababu hujafanikisha hitaji lake
la kusikilizwa.
Wanawake
wanahitaji kubwa la kutaka kusikilizwa na hii ndiyo tofauti kati ya
mwanaume na mwanamke, wanaume hutumia ubongo tu hata bila kuongea
kuhakikisha anapata tatizo la issue zake wakati mwanamke hulazimika kuzungumza na kusikilizwa ili kupata jibu laissue yake.
Kama mwanaume hutumii muda ku-discuss mambo
na mke wako hiyo siyo nzuri ndiyo maana anaweza kutumia muda wake
kuongea na rafiki zake kwenye simu kwa sababu hujafanikisha hitaji lake
la kusikilizwa.
Mwanaume unapoongea na mwanamke hakikisha:-
Unapoongea naye kwanza unamwangalia usoni (eye contact) ili ajue unamsikiliza
Anapomaliza kuongea hakikisha unaonesha ulikuwa unamsikiliza hasa kwa kurudia yale ameongea kwa mfano unaweza kusema, “kwa hiyo ulikuwa unaniambia ………”
Then muulize yeye alikuwa anafikiriaje kupata jibu la hiyo issue yake kabla wewe kutoa jibu.
Kufanya
hivyo kutaonesha unajali sana hisia zake hasa suala zima la kusikilizwa
na pia itamsaidia yeye mwenyewe kuangalia ni jinsi gani anaweza
kuhusika kupata jawabu la issue aliyokuwa anakueleza.
Wataalamu
wanasema mwanamke kawaida huongea maneno 45,000 kwa siku na mwanaume
maneno 15,000 kwa siku hivyo ukiwa unamkatisha kuongea na kudakia kwa
kutoa jibu bila kumsikiliza kisaokolojia una muumiza na itabidi atafuta
mtu mwingine wa kuongea naye.
Unapoongea naye kwanza unamwangalia usoni (eye contact) ili ajue unamsikiliza
Anapomaliza kuongea hakikisha unaonesha ulikuwa unamsikiliza hasa kwa kurudia yale ameongea kwa mfano unaweza kusema, “kwa hiyo ulikuwa unaniambia ………”
Then muulize yeye alikuwa anafikiriaje kupata jibu la hiyo issue yake kabla wewe kutoa jibu.
Kufanya
hivyo kutaonesha unajali sana hisia zake hasa suala zima la kusikilizwa
na pia itamsaidia yeye mwenyewe kuangalia ni jinsi gani anaweza
kuhusika kupata jawabu la issue aliyokuwa anakueleza.
Wataalamu
wanasema mwanamke kawaida huongea maneno 45,000 kwa siku na mwanaume
maneno 15,000 kwa siku hivyo ukiwa unamkatisha kuongea na kudakia kwa
kutoa jibu bila kumsikiliza kisaokolojia una muumiza na itabidi atafuta
mtu mwingine wa kuongea naye.
Wanawake wanahitaji mwanaume anayemuhitajiWanawake wanapenda kuona wanahitajiwa na mwanaume.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






