MUHIMU KWA AKINA DADA: HIZI NDIZO SABABU KUU TANO ZA KWA NINI HAUOLEWI MPAKA SASA..

Admin Updates9 years ago6 Views

1.We MUONGO
 
Mwanamke kuwa muongo katika mapenzi ni kitu kibaya sana kinachosababisha wanaume wengi kupoteza

imani naye kuweza kuishi naye kimaisha katika maisha yao yote.


2.MBINAFSI
Mwanamke hapaswi kuwa mbinafsi katika
maisha ,waweza kuta mwanamke kila pesa ipatikanayo ye huanza kuipangia
bajeti kwa vitu vyake binafsi visivyo na faida kwa wote,kwa mfano kuwaza
kununua nguo mpya ,vipodozi n.k,pia mwanamke kupenda familia ya upande
na kuichukia familia  ya upande wa mwanaume pia huo ni ubinafsi unao
chochea kuto olewa.

3.MALAYA
mwanamke malaya siku zote wanaume ni
vigumu kumuoa kwani wanajua hawezi kuishi naye kwa uaminifu kutokana na
tabia yake hiyo mbaya,hivyo ataishia kuchezewa na mwisho wa siku
ataachwa kwenye mataa

4.HUNA FIKRA PEVU
Mwanamke asiyekua na fikira ktk
mahusiano ni vigumu kuolewa kwani utakuta ye kila kitu humtegemea
mwanaume atoe maamuzi wakati dunia ya sasa yapaswa wote kushirikiana
katika maamuzi

5.KUMPENDA MTU USIE ENDANA NAYE
hakikisha
umpendae mnaendana naye kuliko kumpenda mwanaume kwa ulazimu bila
kuendana naye,waweza kuwa umempenda sababu ya pesa,au umempenda sababu
ya u staa wake ,mwishowe ye atakuchezea na kukuacha ukishangaa
.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.