Mambo! Mimi ni binti,umri wangu ni miaka Ishirini na tano,mrefu,mweusi na mwembamba ni mkristo pia,elimu yangu ni chuo kikuu na ni mfanyakazi. Lengo langu hapa natafuta mwanaume,wa kuanza naye urafiki,mapenzi na mengine tukielewana.Awe mrefu,mwembamba,mwenye afya bora,mwonekano mzuri wa sura na mtanashati,asiwe mnywaji wa kilevi kupitiliza wala asivute sigara! Awe ana chanzo cha mapato cha kueleweka,matured,broadminded na alietayari kuingia kwenye mahusiano ya mapenzi na mwanamke,sexually active kwa njia ya kawaida ya kimaumbile!Elimu chuo kikuu…karibuni,alie tayari awache Mawasiliano yake! Sitaki mzaha,kebehi wala nyodo…!kama unajua hayakuhusu usinivuruge!
I Used to live in USA now Am Back
Note:I only Need Tanzanian Man Not Otherwise…
Call Me Sandra Kileo





































