ALIYEKUWA mchumba wa staa wa Bongo Muvi, Jacqueline Wolper, Ramadhan Mtoro ‘Dallas’ inadaiwa kuwa hivi karibuni amefunga ndoa na mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Suleiya, Amani lina mchongo kamili.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, tukio hilo lilijiri Jumapili iliyopita maeneo ya Mbezi-Ununio jijini Dar ambapo wawili hao walionekana wakiwa katika hali ya furaha muda wote huku ndoa hiyo ikifungwa bila kificho.
“Hatimaye leo yamekuwa, yaani yule jamaa (Dallas) aliyekuwa akimpatia Wolper magari ya kifahari na mipesa leo hii saa saba mchana (Jumapili) anafunga ndoa tena na mwanamke mwingine mkali kuliko hata huyo Wolper,” kilisema chanzo.
Baada ya kuunyaka ubuyu huo, Amani lilifanikiwa kutimba eneo la tukio na kushuhudia Dallas akifunga ndoa kweli na mwanamke huyo ambapo baadaye waliingia moja kwa moja kwenye gari na kutokomea.
Miaka mitatu iliyopita Dallas alikuwa katika uhusiano wa kimapenzi na Wolper hadi kufikia hatua bi’dada huyo kubadili dini ili aolewe naye lakini mwishowe uhusiano huo uliyeyuka.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






