PICHA: Mamia wafunga barabara Kilimanjaro Ili wamsalimie Rais Magufuli..Shududia hapa

Admin Updates8 years ago5 Views

Rais John Pombe Magufuli Aprili 29, 2017 aliwasili Moshi mkoani Kilimanjaro ambapo atafanya ziara ya kikazi kwa muda wa siku tatu.Alipofika Eneo la Bomang’ombe wilayani Hai,Wananchi walifunga Barabara Wakitaka Awasalimie ambapo wananchi walibeba majani aina ya Masale na kisha alisimama na Kuwaambia ”Ninajua maana ya haya Majani(Masale)..Na mimi nimewasamehe,najua nanyi mmenisamehe..Pia baada ya Mwendo Mdogo wananchi wa Eneo la Kwasadala walizuia msafara wa Rais Magufuli ambapo napo alisimama na kuwasalimia amabapo alitoa agizo la kufuta kodi zote za mazauzo ya ndizi au biashara ndogo ndogo na kusema kuanzia sasa wanaotakiwa kulipa ushuru ni wafanyabiashara wakubwa tu katika Masoko mkoani Humo.

Sambamba na ziara hiyo, Rais Magufuli kwa Mara ya Kwanza Aliambatana na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa,Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan,Mawaziri na Watendaji wakuu wa Serikali ikiwa wanatarajiwa kuhudhuria sherehe za Sikukuu ya Wafanyakazi (Mei Mosi) ambapo Rais Magufuli atakuwa mgeni rasmi leo .
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.