Msanii wa mziki Bongo, Shilole amekatana kuwa katika mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.
Hayo yamebuika mara baada ya muimbaji huyo kutangaza kuolewa ndani ya mwaka huu na mipango yote ya ndoa kukamilika kama kutolewa mahari.
“Siyo kweli sijanyangamya mume wa mtu, huyo bwana alikuwa naye lakini waliachana, before hata yangu, kwa hiyo haya mambo yanatokea kwa sisi haswa watu wa mashughuli mjini, huyo dada kusikia nipo na huyu kaka leo itakuwa inamchoma, hapo ndipo panaanzia utata,” Shilole amekiambia kipindi cha Mitikisiko ya Pwani cha Times Fm.
Hata hivyo amesema kuwa suala hilo halimuumizi kwa sababu ukweli anaujua, huku akiongeza mume wake mtarajiwa amekubali kazi yake anayofanya (muziki).
“Ndiyo amekubali kwa sababu amenikuta kwenye muziki na ndio kazi yangu na ameanza kunijua kupitia muziki wangu, kwa hiyo lazima anisapoti na anapenda kazi yangu,” amesisitiza.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






