VIDEO: RC Paul MAKONDA ‘Alivyomuita Diamond na Tanasha Awafungishe Ndoa’

7 years ago107 Views

Usiku wa januari 27, Ofisa habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, amefanya uzinduzi wa pafyumu yake inayoitwa ‘De Le Boss’ sambamba na kuzindua Haji Mnara Foundation aliyoianzisha kwa ajili ya kuwasaidia watu wenye ulemavu wa ngozi.

Uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa Hyatt Regency Posta na kuhudhuriwa na mastaa wengi pamoja na viongozi wa serikali akiwemo Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Alipopewa fursa ya kuzungumza RC Makonda amempongeza Manara kwa hatua hiyo kubwa na kisha kumuita Diamond Platnumz na mpenzi wake Tanasha mbele ya shekhe mkuu wa mkoa wa Dar, Alhad Musa Salim,  na kuwatishia kuwa angewafungisha ndoa ya mkeka.

VIDEO:

from UDAKU SPECIAL BLOG http://bit.ly/2G1itZP
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.