Mama Diamond Atoa Sababu ya MTOTO Wake Kushindwa Kufika Msiba wa GOD Zilla

7 years ago97 Views

Mama mzazi wa msanii Diamond Platinumz amefunguka na kutoa sababu kubwa ya mtoto wake huyo kuacha kwenda katika mazishi ya msanii Godzilla na usema kuwa  so lazima yeye aende kwa sababu yeye na dada yake walikuwepo hakukuwa na shida.

Lakini pia mama huyo alisema kuwa sababu kubwa iliyofanya hivyo ni kwa sababu amekuwa akiona misiba mingi ambayo msanii huyo amekuwa akienda , amekuwa akiwateka mashabiki na kujikutwa wakijitoa aktaika msiba na kuanza kumshangaa Diamond platinumz.

Mama Diamond anasema kuwa amekuwa akiona katika misiba , badala ya watu waliokuwa katika misiba hiyo kushiriki katika misiba wamekuwa  wakimshangaa na kumfuata yeye kila sehemu na kuvuruga utaratibu wa misiba.

from UDAKU SPECIAL BLOG http://bit.ly/2EfN4RU
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.