Batuli Amjibu Mange Baada ya Kumuombea Msamaha Baba Yake

7 years ago71 Views

Msanii wa bongo movies Batuli amefunguka na kumjibu Mange Kimambi kuwa pamoja na kwamba wao wamekuwa wakiumia na taarifa za kuumwa kwa baba mzazi wa Diamond Platinumz haimanishi kuwa hata huyo diamond hajui habari za baba yae lakini swala linakuja kuwa kuna watu wangapi ambao wamtelekeza wazazi wao lakini hawajawashikia mabango na kuwakumbusha wajibu wao.

Batuli anasema kuwa mange angeachana na habari hizo kwa sababu kuna watu kibao mitaani kwahiyo wasimuonee Diamond kwa sababu ni mwanamuziki na ndio maana wameweza kumuandama na swala hilo.

katika ukurasa wake wa instagram, batuli an;liandika hivi “

from UDAKU SPECIAL BLOG http://bit.ly/2tuxhIK
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.