VIDEO: Flora Kaongea Baada ya Kudaiwa Kumtorosha Pascal wa BSS Hospitali

7 years ago79 Views

Baada ya RC Makonda kutoa kauli ya kuhitaji kumsaidia Pascal Cassian aliyekuwa mshindi wa BSS mwaka 2009 baada ya kupata ajali ya gari iliyopelekea kupasuka kwa kibofu na kushindwa kuendelea na majukumu yake na kujiuguza kwa muda mrefu, kuna taarifa ziliendelea mtandaoni zikidai kuwa mwimbaji wa nyimbo za injili Madam Flora na mume wake wamemtorosha mgonjwa huo.

 Madam Flora kafunguka kuhusu hilo pamoja na mchango wake kwa Pascal Cassian toka apate ajali.

 BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUTAZAMA ALICHOZUNGUMZA FLORA.

from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2NdW0Ko
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.