Halima Mdee Aachiwa Kwa Dhamana Baada ya Saa 24

7 years ago85 Views

Bunge huyo wa Kawe kupitia CHADEMA alikuwa akishikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar‬ tangu jana

Alikamatwa akidaiwa kutoa maneno ya uchochezi katika mkutano wa hadhara alioufanya maeneo ya Mikocheni jijini Dar Februari 21‬, 2019

Jana, Mdee kupitia ukurasa wake wa Twitter aliandika kuwa ameitwa kituoni hapo kwa mahojiano na baada ya mahojiano alikamatwa na kuwekwa mahabusu na kisha kunyimwa dhamana 

from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/2Nsa8jf
via

0 Votes: 0 Upvotes, 0 Downvotes (0 Points)

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.