
Picha hii siyo ya tukio halisi
Waziri wa Afya wa Tunisia, Abdurrauf esh-Sherif amejiuzulu wadhifa wake baada ya kutokea vifo vya watoto 11 katika hospitali moja ya serikali mjini Tunus.
Katika taarifa ya kwanza iliyotolewa na wizara ya afya inasema vifo vya watoto hao vilisababishwa na ugonjwa wa maambukizi kwenye damu.
Ofisi ya mwendesha mashtaka mkuu wa nchi hio ilitoa taarifa kwamba inafuatilia kwa ukaribu kesi hiyo na kwamba ikifahamika kuna uzembe wowote ulifanyika, wahusika watachukuliwa hatua kali.
Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Yusuf Esh Shahid baada ya kuitembelea hospitali ya Er Rabita amesema kwamba amepokea na kukubali kujiuzulu kwa waziri wake.
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habari vya kimataifa, idadi ya vifo vilivyotokea katika hospitali hiyo ni 11.
from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/2ESMqsQ
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33





