
Mwanaume mmoja ametolewa kutoka kwenye ndege moja iliyokuwa ikisafiri kutoka Uwanja wa Ndege wa Islamabad nchini Pakistan kwenda Dubai, baada ya kufanya maombi akimuomba ‘mungu wake’ kusababisha ajali ya ndege hiyo.
Abiria huyo ambaye alitambuliwa kwa jina moja la Khalil alikuwa akisafiri kuelekea Australia kupitia Dubai, na imefahamika kuwa alianza kuomba maafa ya mauti yatokee punde tu alipoketi ndani ya ndege hiyo katika Uwanja wa Ndege.
Maombi yake yaliwafanya abiria kuhofia na kuanza kuingiwa na wasiwasi, hasa wasafiri na wahudumu wa ndege waliokuwapo.
Baada ya tukio hilo Rubani alitahadharisha idara ya ulinzi katika uwanja huo , na maafisa wa usalama walipofika wakamuondoa ndani ya ndege.
Chanzo – Daily Mail UK
from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/2HevqAH
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33





