
Maiti zilivyookotwa
Miili hiyo imegunduliwa na maafisa wanyama pori wa hifadhi hiyo, ambao walikuwa kwenye patrol mbugani, ambapo walihisi harufu kali na kuamua kuanza kuchunguza, na ndipo walipokuta miili hiyo.
Polisi nchini Kenya imesema kwamba miili hiyo imepelekwa katika hospitali ya Makindu kwa ajili ya uchunguzi zaidi juu ya vifo vyao.
Hata hivyo jeshi la polisi linaamini kwamba watu hao hajafia katika mbuga hiyo, isipokuwa huenda waliuawa sehemu nyingine na kwenda kutupwa hapo.
Chanzo – EATV
from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/2TDjJVS
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33





