Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jerry William Silaa akiwasili katika viwanja vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Familia yake (Mke wake Bi Mariam Bakari Silaa na Mwanaye Simba Jerry Silaa) tayari kuingia Bungeni wakati wa uwasilishaji Bajeti ya wizara yake kwa mwaka 2024/2025 Iliyowasilishwa lei Bungeni Jijini Dodoma ambapo picha ya Mhe.Silaa na familia ake imekuwa kivutio kikubwa kweney vyombo mbalimbali vya habari leo nchini Tanzania.
Masama Blog inamtakia Kila la Heri Mhe.Silaa katika uwasilisho wa Bajeti ya Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi