Shaffih Dauda ‘Nafasi ya Kipa Haipashwi Kuwa na Wachezaji wa Kigeni Ligi Kuu’

Admin Updates12 months ago4 Views

 

Msimu ujao tuwe na kanuni ya
kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni katika ligi yetu, lakini nafasi ya kipa haitakiwi kuwa na mchezaji wa kigeni kabisa. Hii itatujengea timu bora ya taifa eneo la golini. lazama kipa kama Mshery ni miongoni mwa makipa mahirl alivyokuwa Mtibwa Sugar. Maana kule alikuwa anacheza, lakini maisha yakawa tofauti alivyojiunga na Yanga SC.
Lazima tuwape nafasi wachezaji vijana. 
Juma Kaseja kaanza kupewa nafasi alivyokuwa anasoma Sekondari ya
Makongo, hii ilimfanya Kaseja kuwa moja ya makipa mahiri katika soka letu “
Mchambuzi wa Michezo nchini Tanzania @shaffihdauda_
Unakubaliana na Mawazo yake kwa maendeleo ya Soka letu la Bongo?
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.