Wananchi Lindi Kufanyiwa jambo Hili Kubwa na muhimu na TPDC

Admin Updates12 months ago4 Views

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa kushirikiana na Kampuni za Kimataifa za Nishati, Shell na Equinor imetoa elimu ya ushiriki wa wananchi katika mradi wa ujenzi wa Shule  ya Msingi  Likong’o iliyopo Kata ya Mbanja, Manispaa ya Lindi.
Shule hiyo, ambayo ujenzi wake utaanza hivi karibuni inatafsiri kwa vitendo jitihada za TPDC kwa kushirikiana na Wawekezaji wa mradi wa kusindika gesi asilia  (LNG), kuimarisha huduma za kijamii na kuchangia maendeleo ya wananchi wanaozungukwa na mradi wa LNG ambao unatarajia kutekelezwa Mkoani Lindi.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.