
Rais wa Kenya William Ruto leo June 23,2024 amesema yuko tayari kufanya mazungumzo na maelfu ya Vijana waliofanya maandamano ya amani wiki hii kote Nchini Kenya kupinga mapendekezo ya nyongeza ya kodi huku akiwapongeza Vijana hao kwa kujitokeza na kushughulika na mambo ya Taifa lao.
Maandamano hayo yaliandaliwa kwenye mitandao ya kijamii kisha yakahamia kwenye barabara mbalimbali za Kenya huku Washiriki wakubwa wakiwa ni Vijana Wakenya wengi wenye umri mdogo maarufu kama ‘Gen-Z’ ambao wamekuwa wakipeperusha maandamano hayo moja kwa moja kwenye mitandao ya kijamii.
Vijana hao wameendelea kushinikiza kutoridhika kwao kuhusu sera za kiuchumi za Serikali ya Rais Ruto ambapo Rais Ruto katika tamko lake la kwanza hadharani tangu kuanza kwa maandamano hayo akiwa kwenye Ibada kwenye Kanisa moja katika Mji wa Nyahururu katika eneo la Bonde la Ufa , amesema “Ninajivunia sana Vijana wetu, wamepiga hatua mbele kwa kufanya maandamano ya amani na ninataka kuwaambiakwamba tutawashirikisha”
Ruto amesema Serikali yake itafanya mazungumzo na Vijana hao ili kwa pamoja walijenge Taifa la Kenya liwe kubwa zaidi.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






