Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemuweka chini ya ulinzi Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche pamoja na walinzi wake wawili na Mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Mara Chacha Heche kwa kile kinachodaiwa kukaidi amri ya kutokwenda Mahakama ya Kisutu kunakotarajiwa kusikilizwa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa chama hicho taifa, Tundu Lissu leo tarehe 24 Aprili 2025.
Hatua hii imejiri baada ya msafara wa Heche kuzuiwa maeneo ya Daraja la Salenda ukiwa njiani kuelekea Mahakama ya Kisutu, na baada ya kile kilichotajwa kuwa mabishano kati yake na Jeshi la polisi, aliamriwa kupanda kwenye gari la polisi ambalo limeonekana kuelekea Kituo cha Polisi cha Oysterbay.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







