Mpya: Uchunguzi Wabaini Pastor Mackenzie Aliajiri Watu Kuwaua Waumini

Admin Updates2 years ago5 Views

 

Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Kenya, Prof. Kithure Kindiki amesema mhubiri mwenye utata, Paul Mackenzie wa kanisa la Good News International Church aliajiri watu wenye silaha kuwachunga wafuasi wake kufunga mpaka pale watakapokufa kwa njaa.
Akizungumza mbele ya kamati ya Seneti inayochunguza tukio hilo siku ya Ijumaa, amesema Mackenzie alitumia genge lililomiliki silaha za jadi kuwaua baadhi ya waumini waliochukua muda mrefu kufa na wale waliobadilisha mawazo yao wakati wa kufunga.
“Mackenzie alikuwa ameajiri vijana wenye silaha ili kuzunguka wafuasi wake na kusimamia njaa yao hadi kufa. Wafuasi waliobadili mawazo yao kuhusu njaa waliuawa kwa kunyongwa au kupigwa na vitu butu,” amesema.
Hata hivyo amesema katika uchunguzi uliofanywa umebaini watu hao walilishwa vizuri, milo mitatu kwa siku, tofauti na ambavyo aliwaagiza waumini wa kanisa lake.
Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.