Mkuu wa Wilaya ya Nyang’wale Mkoani Geita Mhe.Grace Kingalame
Mkuu wa Wilaya ya NYANG’HWAALE Mkoani Geita Mhe.Grace Kingalame amewaonya Wazazi na walezi wanaowatumikisha watoto katika shughuli nyingine badala ya kuwapeleka shule.
Kingalame amesema hatomvumilia mzazi au mlezi yeyote atakayemnyima mtoto haki ya kusoma kwa kumpeleka kuchunga ng’ombe, kwenye shughuli za Madini na kwingineko.
DC Kingalame amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anafanya kazi kubwa ya kuhakikisha mtoto wa Kitanzania anapata elimu bora katika mazingira mazuri na bila malipo, hivyo kama msimamizi mkuu wa shughuli za serikali wilayani NYANG’HWALE hatomvumilia yeyote atakayezivuta juhudi hizo nyuma.
Aidha amempongeza Rais Dkt. Samia kwa kuendelea kuwapelekea miradi mingi ya maendeleo ikiwemo katika sekta ya elimu ambapo hivi karibuni wamekamilisha shule mpya ya Sekondari iliyogharimu takribani shilingi Milioni 584 na Januari hii watoto wameanza kusomea hapo.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







