Saa nyingine ili uone uzito wajambo inabidi uvae viatu vya mwenzio- kwa kweli imefika wkt najisikia vibaya kuhusu kusoma ugonjwa wa LOWASA, watu wameona ndio fimbo ya kumchapia kuhusu ugonjwa wake kwa kweli sijisikii vizuri na sioni kama sawa
Pia katika pita pita huku insta nimeona Wema na mbwa na Zari na mtoto na maneno ya kashfa juu yake, jamani watanzania mnamatatizo gani kuhusu maisha ya watu!
Kwa nini unamsema vibaya mtu juu ya kilema chake ? Kwa nini usimsema mapungufu yake bila kumkashifu juu ya marazi au kilema ? Hii ni sawa kweli? .
Nakumbuka kuna wakati watu walinisema sana kuhusu ukimwi! Nikawa najiuliza hii ingekua kweli na ukimwi ingekuaje ningejisikiaje tena kuna watu walikua wana nitukana live ikiwemo na kumwambia mtu ambae niko kwenye mahusiano nae, hivi mnazani kuna mtu ameomba marazi kweli.
Nyinyi mnaosema watu kuhusu vilema vyao je mnjua mnawaweka watu kwenye wakati gani?, hivi unajua kwa kumuandama mtu unaweza ukamuua au kumuongezea matatizo na saa nyingine kuchukua hatua mbaya.
Unae msema mtu unataka kuwa sababu ya matatizo yake ? Kama ni hapana basi tafazalini jamani tusemane yote lkn sio kwa mambo kama marazi au ugumba au kilema- jamani kabla hujafa hujaumbika tumuogope MUNGU tuwe tunahofu ya MUNGU
Kwa nini unamsema vibaya mtu juu ya kilema chake ? Kwa nini usimsema mapungufu yake bila kumkashifu juu ya marazi au kilema ? Hii ni sawa kweli? .
Nakumbuka kuna wakati watu walinisema sana kuhusu ukimwi! Nikawa najiuliza hii ingekua kweli na ukimwi ingekuaje ningejisikiaje tena kuna watu walikua wana nitukana live ikiwemo na kumwambia mtu ambae niko kwenye mahusiano nae, hivi mnazani kuna mtu ameomba marazi kweli.
Nyinyi mnaosema watu kuhusu vilema vyao je mnjua mnawaweka watu kwenye wakati gani?, hivi unajua kwa kumuandama mtu unaweza ukamuua au kumuongezea matatizo na saa nyingine kuchukua hatua mbaya.
Unae msema mtu unataka kuwa sababu ya matatizo yake ? Kama ni hapana basi tafazalini jamani tusemane yote lkn sio kwa mambo kama marazi au ugumba au kilema- jamani kabla hujafa hujaumbika tumuogope MUNGU tuwe tunahofu ya MUNGU
Faiza Ally @faiza_ally on Instagram
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33






