Alikiba Afunguka Mahusiano yake na Mange Kimambi

8 years ago102 Views

Hitmaker wa Seduce Me, Alikiba amefunguka juu ya mahusiano yake na Mange Kimambi.

Mara kadhaa Mange amekuwa akimpa support kubwa msanii huyo huku akimtetea kwa kila hali endapo hali ya mashambulizi kutoka kwa wapinzani inaonekana kuwa kubwa.


Akiongea na Bongo5, Ali amesema, “Nimeshawahi kuonana na Mange nimepiga naye picha, ni kama shabiki wangu na nina appreciate kwamba anapenda muziki wangu kwa sababu ninamuheshibu kila mtu anayeni support.”


“Pili nina u-free nina haki na kila mtu, mimi nina haki ya kupendwa na mtu yoyote. Nina haki ya kupendwa na Mange na nina haki ya kupendwa na mtu yoyote yule,” ameongeza.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K
Mchanganyiko

Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.