
Picha ya giza mjini Caracas.
Shughuli mbalimbali ikiwemo shule na ofisi za serikali nchini Venezuela, zimesitishwa kwa saa 48 kuanzia jana Machi 11, 2019, kutokana na kukosekana kwa umeme nchi nzima tangu alhamisi mchana Machi 7, 2019.
Rais wa nchi hiyo ya Amerika ya Kusini, Nicolas Maduro ameishutumu Marekani kuwa ndio walioshambulia miundombinu ya umeme, japo amekiri kuwa hawajathibitisha hilo bado.
Kwa mujibu wa kiongozi wa upinzani nchini humo Juan Guaido, mpaka sasa ikiwa inakaribia siku ya 5, baadhi ya maeneo muhimu hayana umeme ikiwemo hospitali na watu takribani 17 wamepoteza maisha kwa kushindwa kufanyiwa upasuaji.
Imeelezwa kuwa hitilafu kubwa imetokea katika mitambo mikuu ya kuzalisha umeme katika mji mkuu wa Venezuela Caracas hivyo kusababisha kukosekana kwa umeme katika eneo kubwa la nchi.
Maduro ameendelea kusisitiza kuwa umeme utarejea taratibu katika maeneo ya Caracas na kwingine huku akiweka wazi kuwa huo ni mpango wa upinzani kumwondoa madarakani kwa kushirikiana na nchi za Marekani na Ulaya.
from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/2NWzmqv
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33





