
Chakula cha subuhi
Wizara ya Serikali za Mitaa na Maendeleo ya Vijijini ya Botswana imetangaza kuanza kutoa chakula cha asubuhi kwa wanafunzi wa shule za chekechea na shule za msingi nchini humo kuanzia mwezi ujao.
Tangazo hilo ambalo limeelezwa kuwa ni la haraka, limetolewa Machi 18 ambapo linasema kuwa wanafunzi hao wataanza kupewa bure chakula cha asubuhi kuanzia April Mosi kwaajili ya mwaka wa fedha wa 2019/2020.
Serikali ya Botswana imefikia uamuzi huo kutokana na mapendekezo yaliyotolewa na timu iliyoundwa mwaka 2013 kuwa wanafunzi wanatakiwa kupewa vyakula vyenye virutubisho ili kulinda afya zao, ukuaji na maendeleo pamoja na kupunguza magonjwa yatokanayo na upungufu wa lishe bora.
Chakula ambacho kinatarajia kutolewa ni pamoja na chai, mkate, ‘peanut butter’, mayai yaliyochemshwa, uji, maziwa, machungwa na ‘apple’.
Chakula hicho kimependekezwa kutokana na mahitaji ya virutubisho kwa wanafunzi, ambapo kitatolewa kwa wanafunzi hao kila siku asubuhi kabla ya kuanza masomo.
from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/2CtVBPV
via
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33





