
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule na Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni (Pichani walioshikilia mfano wa Funguo)wameshiriki hafla ya uzinduzi wa nyumba za makazi ya Askari wa jeshi la zimamoto na uokoaji pamoja na uzinduzi na makabidhiano ya mitambo ya zimamoto na uokoaji iliyofanyika 13/05/ 2024 kikombo Jijini Dodoma.

Mgeni rasmi katika hafla hiyo ni Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi Mhe. Hamad Masauni (Kushoto)ambapo viongozi mbalimbali wa Serikali akiepo Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Sillo wamehudhuria hafla hiyo.
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







