Waziri wa Uchukuzi Mhe.Prof. Makame Mbarawa amesema safari ya Treni ya Mwendokasi ( SGR) kutoka Dar es salaam mpaka Dodoma inatarajiwa kuanza July 25,2024.
Mbarawa amesema hayo baada ya kufanya ziara ya kukagua miundombinu ya SGR kipande cha Dar es salaam na kujiridhisha kuwa treni hiyo itaanza kwakuwa maandalizi yanaendelea vizuri “Nimekagua miundombinu ya madaraja na vivuko pamoja na treni kazi inakwenda vizuri na July 25,2024 tunatarajia kuanza safari ya Dar es salaam mpaka Dodoma”
Waziri Mbarawa amesema nauli ya treni hiyo itakuwa rafiki kwa kila Mtanzania na kila Mtu ataweza kusafiri kuanzia daraja la kwanza mpaka daraja la tatu na katika kuhakikisha safari ya treni hiyo inaanza bila kuwepo changamoto Mbarawa amesema kuanzia mwezi June itaanza safari ya Dar es salaam mpaka Morogoro na mifumo ya tiketi itakuwa tayari na kutoa wito kwa Watanzania kuanza kusafiri kwa treni hiyo.
Kiwanja hiki chenye Ukubwa wa 600 SQM, kinauzwa GOBA Dar es Salaam
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







