Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu amesema anayasikia matusi anayotukanwa lakini amejigeuza chura anajifanya hasikii na wala hatojibu bali anachotaka yeye ni mageuzi ya kiuchumi ili kuipeleka Nchi ya Tanzania mbele.
Akiongea leo June 11,2024 wakati wa akipokea gawio na michango kutoka Mashirika na Taasisi za Umma Ikulu Jijini Dar es salaam, Rais Samia amesema “Kwenye mageuzi haya Mchechu na Waziri wako lazima muwe unpopular, sijawahi kusikia Waziri wa Fedha akasifiwa hata siku moja, siku zote Waziri wa Fedha analaaniwa, kwahiyo Mchechu na wewe utalaaniwa tu hapa, na nyingine zitakuja personal nyingine kikazi lakini hii ndio kazi niliyokupa simama na ifanye”
“Mimi kazi mliyonipa nasimama na naifanya, na mnashuhudia matusi ninayotukanwa ‘Mpuuzi, hana maana, huyu Bibi , eeh eeh ana hivi!’ mambo tele lakini najigeuza chura kelele zinapigwa nyingi wakiona haujibu wanasema sasa tulitukane litajibu au lijibu, sijibu najigeuza chura masikio sisikii kabisa ninachotaka mageuzi ya kiuchumi ndani ya Nchi hii, anayetaka kunikere anikanyagie uchumi wangu”
Recommended Products
-
2025 Summer Rapper Feid Ferxxo Men’s Cotton Fashion Hip-hop T-shirt Casual and Comfortable Short-sleeved T-shirt Street Wear
Affliate products $22.00 -
3 IN 1 Magnetic Folding Wireless Charger Station For IPhone Transparent Fast Charging For IWatch And Airpods
Affliate products -
Grandpa Of Love hoodies Human French Letters Dad Papa Papy Gift Men Clothing hoodies
Affliate products $22.00 -
Sale!
Lenovo D18 Drone 8K Aerial HD Dual-Camera Intelligent Obstacle Avoidance Brushless Power 5G WIFI Screen Remote Control GPS Drone
Affliate products Original price was: $7.99.$7.89Current price is: $7.89. -
Mini Portable Face Cordless Shavers Rechargeable USB Electric Shaver Wet & Dry Painless Small Size Machine Shaving For Men
Affliate products $44.00 -
New Original T75 Bone Conduction Wireless Bluetooth 5.3 Headphones Sports Earphones HiFi Sound Quality Waterproof TWS Headset
Affliate products $3.33







