Waliotaka Kumteka Mfanyabiashara Tarimo Huko Kiluvya Wakamatwa

Admin Updates6 months ago7 Views

 Waliotaka Kumteka Mfanyabiashara Tarimo Wakamatwa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaaam limewakamata Watu wanane wanaotuhumiwa kumteka Mfanyabiashara Deogratius Tarimo katika eneo la Kiluvya, Ubungo Dar es salaam.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Jumanne Muliro akiongea na Waandishi wa Habari leo December 4 2024, amesema Watuhumiwa hao wamekamatwa kwa nyakati tofauti katika Mikoa ya Dar es salaam, Ruvuma na eneo la Mbingu, Mlimba Mkoani Morogoro.

“Pia lilipatikana gari aina ya Toyota Raum ambayo ilitumiwa wakati wa tukio hilo huku ikitumia namba isiyo halisi T 237 EGE na baada ya ufuatiliaji kufanyika imefahamika namba yake halisi ya gari hiyo ni T237 ECF” ——— Kamanda Muliro.

Join Us
  • Facebook38.5K
  • X Network32.1K
  • linkedin12.6k
  • youtube23.4k
  • Instagram18.9K

Stay Informed With the Latest & Most Important News

I consent to receive newsletter via email. For further information, please review our Privacy Policy

Categories
Loading Next Post...
Follow
Sign In/Sign Up Search Trending 0 Cart
Popular Now
Loading

Signing-in 3 seconds...

Signing-up 3 seconds...

Cart
Cart updating

ShopYour cart is currently is empty. You could visit our shop and start shopping.